Dolomiti ni safu ya milima iliyo sehemu ya Alpi.

Milima hiyo inapatikana Italia Kaskazini katika wilaya za Belluno, Trento na Bolzano/Bozen.

Ni maarufu kwa madini yake lakini hasa kwa uzuri wake unaovutia watalii wengi.

Mnamo Agosti 2009, UNESCO iliitangaza kuwa urithi wa dunia.

Picha na:
Daniele Bonaldo - CC BY-SA 4.0
Statistics: Position (field_position)
1157
Statistics: Rank (field_order)
160449

Ongeza maoni mapya

Esta pregunta es para comprobar si usted es un visitante humano y prevenir envíos de spam automatizado.

Usalama
842653197Bofya/gonga mfuatano huu: 9427

Google street view

Unaweza kulala wapi karibu Dolomiti ?

Booking.com
457.046 ziara kwa jumla, 9.078 Pointi za kupendeza, 403 Marudio, 351 ziara leo.