Sudan
Bertramz - CC BY 3.0
Mark Fischer - CC BY-SA 2.0
David Stanley from Nanaimo, Canada - CC BY 2.0
Landsat 8 / OLI - Public domain
Hans Birger Nilsen - CC BY-SA 2.0
Hans Birger Nilsen - CC BY-SA 2.0
User:LassiHU - CC BY-SA 4.0
Hans Birger Nilsen - CC BY-SA 2.0
Cerry Chan - CC BY-SA 3.0
Hans Birger Nilsen - CC BY-SA 2.0
David Stanley from Nanaimo, Canada - CC BY 2.0
Bertramz - CC BY 3.0
Hans Birger Nilsen - CC BY-SA 2.0
Nick Hobgood from Cap-Haitien, Haiti - CC BY 2.0
No images
Muktadha wa Sudan
Sudan (jina rasmi: Jamhuri ya Sudan) ni nchi ya tatu kwa ukubwa katika bara la Afrika na ya kumi na sita duniani
Imepakana na Misri kaskazini, Bahari ya Shamu kaskazini-mashariki, Eritrea na Ethiopia mashariki, Sudan Kusini kusini-mashariki, Afrika ya Kati na Chadi magharibi, na Libya kaskazini-magharibi.
Kijiografia nchi hii huhesabiwa kama sehemu ya Afrika ya Kaskazini.
Mji mkuu ni Khartoum.
Majimbo ya Sudan Kusini yalikuwa sehemu ya nchi hiyo lakini yalipiga kura ya kujitenga yakapata kuwa nchi huru kuanzia tarehe 9 Julai 2011.